Saturday, July 31, 2010

JAMANI NIMEIBIWA KATIKA MAZINGIRA YA KUTATANISHA SANAA...

Kumradhi wadau wangu wa KINYAIYAS BLOG nimeibiwa Laptop yangu pamoja na Camera na ndio maana nimekaa kimya bila kuliendeleza libeneke lango apa Bloguni ila niko njiani najitahidi kununua tena ivyo vitu ili mambo yaendelee maana naona uwezekano wa kuvitafuta na kuvipata ni mdogo sana ingawa IMENIUMA SANAAA MPAKA SASA!

9 comments:

Anonymous said...

pole sana ben kwa kuibiwa.ndo maana nilikuwa naona kimya..tuko pamoja man

Anonymous said...

London hakuna wizi wa namna hiyo ina maana huna Insurance ya hivyo vitu?Nenda kaclaim ni kazi ndogo zaidi ya kuomba kumradhi.

billduke said...

pole mzee ni hapa UK au bongo.

Anonymous said...

kwani uk hakuna wezi tena wabongo ndio wana ongoza kuna demu mmoja ailiba simu akaficha kwenye chupi basi ikipigwa ikawa ina mtekenya mwenyewe akaitoa

Anonymous said...

mmh pole ben kwa kuibiwa naiman mungu atakurudishia kwa njia nyingine!

Anonymous said...

how long does it take to replace laptop?

Anonymous said...

Ben Pole kwa wizi uliokupata, but it has been very long without mavituz ya burudani mtandaoni. I hope utalishughulikia kwani wadau wa blog yako tunakumisso. Au ndio mpaka summer iishe. Kila la kheri kaka!
Mdau, USA

Irene said...

Pole sana Ben, iwe makini sana wakati wote. Tuko pamoja.

Anonymous said...

pole sana.sasa hivi wizi wa laptop umekuwa mkubwa na bongo

Website counter