PARAGUAY YAWEKA HISTORIA LEO...
Hatimaye timu ya taifa ya PARAGUAY imeingia kwenye hatua ya robo fainali kwa mara ya kwanza katika Historia yao baaya ya kuitoa JAPAN kwa Penalti 5-3, ila ina mtihani mzito pale itakapokwaana na HISPANIA kwenye hatua iyo ya robo fainali kuingia nusu Fainali ya Kombe la Dunia.
No comments:
Post a Comment