HATIMATE SUGU NAE AGOMBEA UBUNGE KULE KWAO MBEYA MJINI...
Hatimaye mkongwe wa muziki wa kufokafoka 'aka' Bongo flava nchini MR 2 'AKA' SUGU, ametangaza kugombea ubunge kwenye jimbo la kwao kule Mbeya Mjini kwa tiketi ya CHADEMA! sasa nawauliza wadau kwa hatua aliyochukua Mr 2 mnaona ni sahihi kwasasa au amekurupuka?...
No comments:
Post a Comment