www.kinyaiyas.blogspot.com:
Kwa habari za Kijamii, Michezo na Burudani kwa wakati...
Wednesday, June 30, 2010
HUYU NAE ABOMOLEWA NYUMBA...
Mkazi wa Kibaha akilia kwa uchungu jana baada ya kubomolewa nyumba yake na Tingatina kupisha upanuzi wa barabara! Sasa mimi nauliza aende wapii huyu mamaa jamaniii, au kuna hatua yoyote imeshachukuliwa mpaka sasa...
No comments:
Post a Comment