Nikiwa na ndugu, jamaa na marafiki tukila Monde kwa kwenda mbele...
Rafiki yangu Rupe na wife wake nao walikuwepo kuwakilisha...
Nikiwa na wageni tukibadilishana awazo na mipango mbalimbali ya mjini...
Wageni mbalimbali wakifurahia mnuso kwa sanaaa...
1 comment:
big up sana ben unawajibika sana bwa mdogo,hivyohivyo endelea kukaza msuli,tuwekee mapicha mengi hasa ya hapo mtaani mkuu yanatukumbusha mbali wengine,msalimie lupe.isaac
Post a Comment