Hatimaye wale marubani 2 waliokuwa katika ndege ndogo iliyopata ajali leo katikati ya barabara ya kwenda Tanga wamefariki baada ya kujeruhiwa vibaya na hatimaye kupelekwa kutibiwa kwa dharula katika Hospital ya Magunga na hatimaye kuaga Dunia! Ndege hiyo ilitua ghafla barabarani baada ya kupata Hitlafu ya ghafla ilipokuwa angani na hatimaye kugonga gari ya watalii wa kiholanzi waliokuwa kwenye gari hilo, na hivi sasa maiti zimeshahifadhiwa katika Hospital ya Lugalo jijini Dar
www.kinyaiyas.blogspot.com: Kwa habari za Kijamii, Michezo na Burudani kwa wakati...
Wednesday, June 30, 2010
HATIMAYE WALE MARUBANI 2 WA AJALI YA NDEGE WAFARIKI DUNIA...
Hatimaye wale marubani 2 waliokuwa katika ndege ndogo iliyopata ajali leo katikati ya barabara ya kwenda Tanga wamefariki baada ya kujeruhiwa vibaya na hatimaye kupelekwa kutibiwa kwa dharula katika Hospital ya Magunga na hatimaye kuaga Dunia! Ndege hiyo ilitua ghafla barabarani baada ya kupata Hitlafu ya ghafla ilipokuwa angani na hatimaye kugonga gari ya watalii wa kiholanzi waliokuwa kwenye gari hilo, na hivi sasa maiti zimeshahifadhiwa katika Hospital ya Lugalo jijini Dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment