
Hatimaye wale marubani 2 waliokuwa katika ndege ndogo iliyopata ajali leo katikati ya barabara ya kwenda Tanga wamefariki baada ya kujeruhiwa vibaya na hatimaye kupelekwa kutibiwa kwa dharula katika Hospital ya Magunga na hatimaye kuaga Dunia! Ndege hiyo ilitua ghafla barabarani baada ya kupata Hitlafu ya ghafla ilipokuwa angani na hatimaye kugonga gari ya watalii wa kiholanzi waliokuwa kwenye gari hilo, na hivi sasa maiti zimeshahifadhiwa katika Hospital ya Lugalo jijini Dar
No comments:
Post a Comment