
Jamani msidhani 'WAMACHINGA' wapo africa tu ila hata uku Ulaya pia wapo tena wa kumwaga sema wapo kwenye maeneo yaliyopangwa tu, sasa tatizo liko kwa wamachinga wa kwetu Africa wakipangiwa sehemu zao ili uharibifu wa mazingira upungue ni vita daaah! Yaani sisi mpaka tukae sehemu kwa utaratibu itachukua muda sana nakwambieni, na hapo kwenye picha msione NIMENUNA ni kwa sababu kuna Mturuki wa Bucha kaniulizia kuku wa 'Kiswahili' kwakua kaniona mie Mwafrica wkt mie nilitaka kuku wa Kizungu ambaye analainika 'Viungo' Fasta aaaagh...



1 comment:
wa kiswahili ndiyo mzuri kaka wa kichaga yaan yupo real mabroiler mabaya hayo yana machemical nyingi mpike tu ataiva.hata viungo weka tu me nitakuja kula,halafu no yako ya uk hiyo mbn haipatikani hata msm haziendi nikituma
Post a Comment