Thursday, September 8, 2011

KUTANA NA BINADAMU MWENYE 'DOMO' KUBWA KULIKO WOOTE DUNIANI KWASASA...


Yaani unaambiwa baada ya kushinda kwa Style yake ya kumeza Kopo la Soda basi Kampuni ya soda ya COCACOLA hapohapo ikampa Dili la TANGAZO na akachukua MKWANJA mreeefuuuuu wkt alikuwa hana raha kule kwao Angola kwa kutaniwa na DOMO lake kubwa na kuambiwa akialikwa kwenye Part atamaliza MSOSI woote na hata mademu walikuwa wanamdic, lakini kumbe mungu kumpa kilema icho ndio kimemtoa kwenye Maisha baada ya kupata pesa nyingi kuitangaza Cocacola na hilohilo DOMO lake haaa haaaa, ama kweli usijione una kilema flani ukachukia jua mungu ana sababu yake bana...

No comments:

Website counter