Saturday, September 10, 2011

HILI NI ONYO KWA MAKONDA WOOTE...


Ule mpango wenu kwa kukatisha 'RUTI' alafu mnakuwa wajeuri hamtaki kurudisha Nauli za watu au kuwaambia abiria wahamie Bus lingine siku mkikutana na 'WABISHI' kama hawa jasho litawatoka sheenziiiii...

No comments:

Website counter