Monday, June 13, 2011

HII NI TAARIFA YA MSIBA WA MAMA YANGU MKUBWA ALIFARIKI JANA JUMAMOSI UKO MINNESOTA USA, TUNAOMBA MICHANGO YENU ILI TUULETE MWILI WA MAMA YETU APA HOME

Ndugu, Jamaa na Marafiki,

Kwa masikitiko makubwa tunapenda kuwaatarifu ya kuwa Mama Aurelia Kinyaiya, amefariki dunia leo Jumamosi [June 11th, 2011] Memorial Hospital,Minneapolis Minnesota. Marehemu ni mama mzazi wa Elifaa na David Kinyaiya waishio Minnesota, na Alekunda Mmari aishiye Washington D.C.
Maandalizi ya kusafirisha mwili yanaendelea nyumbani kwa Elifaa & David Kinyaiya 10716 Scott Avenue N,Brooklyn Park,MN 555443.
Makadirio ya gharama za kusafirisha mwili pamoja na watakaosindikiza kwenda Tanzania kwa ajili ya mazishi ni $25,000. Kama ilivyo desturi yetu, tunaombwa kuungana na familia ya Kinyaiya katika kukamilisha mipango ya kusafirisha mwili.

Unaweza kutuma mchango wako kwa njia zifuatazo;
1: WellsFargo Bank Wire transfer: Route # 530000509, Ac # 3165545314, Jina: Elifaa Kinyaiya au David Kinyaiya.
2.Western Union & MoneyGram : Zote zitumwe kwa Neville Lema 612-964-4218.
3.Mail Hundi (cheki) kwa: Elifaa Kinyaiya, anuani :10716 Scott Avenue N,Brooklyn Park,MN 555443.

Unaweza kuwasiliana na wafiwa kwa namba zifuatazo:
Elifaa:641-583-1189 ,
David 952-215-1116,
Alekunda 202-375-3847.
Lilian Maina 612-669-2782

Kwa taarifa zaidi, wasiliana na;
Honest Tesha:651-343-3209,
Riwa 952-457-0599,
Mollel 651-334-0163,
Dennis Shengena 952-992-9489,
Erick Lemunge 651-398-1861.
Flaviana Tesha 651 329 4521

Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa. Jina la Bwana Libarikiwe.
Akhsante,

1 comment:

Irene said...

Pole sana Ben. R.I.P. mama. Nawaombea Mungu awape moyo wa uvumilivu katika wakati huu mgumu. Poleni sana.

Website counter