Ebu jamani nipeni maoni yenu, mimi binafsi huwa naonaga huruma sana ninapokuta kibaka akipigwa kwa kiwango hiki cha kukaribia kufa ila ukiuliza kisa utaambiwa ooh alitaka kumpora yule 'dada' pale simu yake Daah! Sasa wakati huohuo najirudi kujiuliza kwamba sikuzote kuibiwa ni kubaya sana maana inatia uchungu na kukurudisha nyuma kimaendeleo na isitoshe endapo Mwizi akikuwahi wewe uso kwa uso yuko radhi akuue wewe maana anajua akikukosa basi utamuua wewe, na ndio maana naona kitendo cha kupigwa wakikamatwa ni sawa 2 ingawa ni ukiukwaji wa haki za 'Bin Adam' jamani, sasa we unakubaliana na mimi au una mawazo yako tofauti?...
www.kinyaiyas.blogspot.com: Kwa habari za Kijamii, Michezo na Burudani kwa wakati...
Friday, October 22, 2010
NAULIZA JE NI HALALI KWA 'MWIZI' KUPIGWA KWA KIWANGO HIKI...
Ebu jamani nipeni maoni yenu, mimi binafsi huwa naonaga huruma sana ninapokuta kibaka akipigwa kwa kiwango hiki cha kukaribia kufa ila ukiuliza kisa utaambiwa ooh alitaka kumpora yule 'dada' pale simu yake Daah! Sasa wakati huohuo najirudi kujiuliza kwamba sikuzote kuibiwa ni kubaya sana maana inatia uchungu na kukurudisha nyuma kimaendeleo na isitoshe endapo Mwizi akikuwahi wewe uso kwa uso yuko radhi akuue wewe maana anajua akikukosa basi utamuua wewe, na ndio maana naona kitendo cha kupigwa wakikamatwa ni sawa 2 ingawa ni ukiukwaji wa haki za 'Bin Adam' jamani, sasa we unakubaliana na mimi au una mawazo yako tofauti?...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
4 comments:
Ni bora kupigwa kama hivyo maana hao jamaa wanamaudhi kweli na kuliko kukuwai wao basi wananchi wakiwawai ni bora iwe hivyo tu besyd that ukiwapeleka police aftr 48 hours haooooo uko nao kitaa sa si bora tu mmalizane tu lijulikane moja though ka ulivyosema Ben ukiukwaji wa haki za binadam..
Huruma lakin they deserve it..
Rabia
Kama hakomi kuiba na kusumbua watu itabidi apate kipigo cha maana.
Kwani Ben Huwa kuna viwango rasmi vya kupiga mwizi duniani?
sio halali coz sometimes watu wanasingiziwa these thingzzz
Post a Comment