Tuesday, September 27, 2011

NAWATAKA 'RADHI' WADAU...

Kumradhi wadau wa KINYAIYA'S BLOGU, nilikuwa kimya kidogo hapa Bloguni kutokana na kusafiri sehemu tofauti na ivyo muda wangu kuwa 'FINYU' kwakweli ila nawaahidi kuanzia kesho Juma5 ntaanza kuwaporomoshea 'MAVITUZZ' kama kawa hapa Bloguni, Stay tune...

No comments:

Website counter