Wednesday, September 14, 2011

BABY SHOWER YA BI, SWADDA JUZI MJINI MILTON KEYNES ILIVYOFANA...


Ilikuwa ni Chereko na Hoihoi juzi mjini Milton Keynes kwenye PATI ya BBY SHOWER ya Bi. SWADDA ambayo ilihudhuriwa na 'WATOTO waMUJINI' wootw wa kuanzia London na vitongoji vyake mpaka mikoa ya jirani kama Reading, Coventry na Leicester, ilikuwa balaaa, na Pichani Miss JESTINA akiwaongoza warembo akipouzz na warembe nadnia ya ukumbi wa shughuli....

Mrs MBARUKU na FATMA nao walikuwepo...

MARIAM, VINA na FATMA wakishow Love...

Mduara kwa kwenda MBELEEE...

No comments:

Website counter