Wednesday, September 14, 2011


VINA na MARIAM LASSEKO waliwaongoza warembo wooote wa Mujini waliohudhuria BABY SHOWER hiyo ya Bi, SWADDA iliyofanyika juzi mjini Milton Keynes, mwendo wa saa 1:30 kutoka apa London...

'NONDOZZ' za Mujini kwenye Pouzzzz....

Bi, SWADDA ambaye ndie aliyekuwa mwenye 'SHUGHULI' iyo juzi akiwa kwenye kiti chake cha Enzi huku wapambe wakiwa pembeni kumsubiri 'Mwenzao' aliyeko njiani...

Hapa ni wkt Bi. SWADDA akiingia ukumbini...

SUE KINYAIYA akiwa na MARIAM LASSEKO, ilikuwa raha saanaaaa....

No comments:

Website counter