|
|
Kama kuna ishu simaindi kuidiskasi wiki hii ni ishu ya futbolu, hizi mechi za hisani hizi mwanangu zinazingua nazo samtaimz...
...mbili mwanangu, mji haukaliki kudadadeki!
..eti mwanangu umemuelewa mshua?
Unaambiwa kuanzia pale ndio kipindi kikapata maileji, kila mtu unaambiwa akanunua dishi nini, ..biznes inafanyika na watu wakawa wanachukulia poa tu sijui sasa kipindi kile kulikuwa hamna viongozi wanaoangalia maadili au dizaini walikuwa wamepozwa kimtindo, mimi hata sijui ninachokumbuka ni Bata tu maana tulikuwa tunajimiksi kweli na masupastaa wetu akina Mwisho, Richard ndio alikuja na mkwanja na wengineo. Wengineo siwataji maana walikuwa mademu na si mnajua masista walivyokwenda kuzingua? Hwajazingua sana lakini mbona akina mwisho na Richard nao walinanii watoto wa watu bwana? Hamkuona kipindi kile kwamba ilikuwa nje ya maadili washua?
Dizaini mshua kimemchoma mabinti wale kwenda kuchezewa huku sisi tunaona kisha mwisho wa siku mtu kama Bhoke hatumuoni tena kwenye kioo, sijui jamaa wamemtema?
Kawa supastaa sawa, lakini kadhalilika ingawa mwenyewe anadai hajutii, na kazi dizaini sijui kapumzika au kapoteza, na alichopata sana sana ni nini. Ukiuliza kaenda kufanya nini kule atakujibu nini?
washua wetu hawa wanachoooonga wakiwa mjengoni lakini wakija kitaa wanatulia, kama sio kutulizwa, sasa nahisi kunanhaja ya kuwashtua kwa hedlaini kama hiyo hapo juu au sio mwanangu? Ndo' manake si ndio?
|
1 comment:
Mwanagu kinya Vp bata Hapo kwa Malkia? mwanangu umelonga kweli hiyo ishu mwanangu hata mimi imenigusa sana sana hawa washua huwa wanawaza nini ktk vichwa vyao hawana ishu za maana za kudiskasi na kuchangia mjengoni au? nakosa neno zuri la kulonga!!!!!!!!!!!!,hivi tunakwenda wapi na hawa washua wetu mjengoni?
Post a Comment