Wednesday, August 3, 2011

JE KWA MTAJI HUU TUTAPONA KWELI JAMANI...

Daah kwa mtaji huu ndio maana watu wanakufa ovyo kwa ajali za kipumbavu jamani, Chec hiyo Overtake......
Na ujanja wangu woote huwa naogopa saanaaa kupanda Bodaboda maana Body ni mwili wako looh...




No comments:

Website counter