NAWATAKA RADHI WAJAMENI...
Jamani nawataka Radhi wadau wa Blogu hii ya KINYAIYAS kwa kukaa kimya kwa karibu wiki 2 bila kuweka chochote hapa Bloguni, ni kwasababu Laptop yangu iliharibika so ikanibidi kununua nyingine na kwasasa mambo yako Fresh na kuanzia kesho JUMANNE ntaanza kuteremsha Vituzzz kama kawa hapa Bloguni. BEN KINYAIYA.
2 comments:
pole sana kakangu naomba lisitokee tena hili maana unaniabisha dadako niko HP na IBM si ungepiga tu simu nikafanya kukukimbizia ungenilipa sikunyingine ningekuachia Invoice tu jamani!!! vibaya hivyo tena aibu haswa kakangu
duuu kaka hiyo jumanne ya lini tena maana tumesubiri sana na jumanne ziko kibao si unajua tena rudi hewani kaka....
Post a Comment