Saturday, June 4, 2011


Aaah tatizo 'KILAJI' kikikolea basi mkila mtu ana 'Haiba' na sura yake loooh! Pichani kuanzia kulia ni Beki wa zamani wa YANGA na Timu ya Taifa MWANAMTWA KIHWELU, anaefuata ni Katibu mkuu wa shirikisho la mpira nchini 'TFF' ambaye pia ni mwandishi wa Habari Mwandamizi ANGETILE OSIAH, MIMI na Kiungo wa zamani wa YANGA na Timu ya Taifa ALLY YUSUPH aka 'TIGANA', tukiserebuka kwa muziki murua wa MSONDO NGOMA leo jumamosi usiku huu...

Nikiwa na Rapa na mpiga TRUMPHET wa MSONDO NGOMA ROMAN MNG'ANDE aka 'ROMARIO'! Yaani huyu bwana ni swahiba wangu kuliko wanamuziki woooooote wa Msondo ila ana vurugu sanaa kuanzia stejini mpaka nje na haswa akipata 'KILAJI'...

Hip hip hureeeeee, saasaaa je unafikiri 'MAJI YA ILALA' yanakoipesha...

Wadau halisi wa Msondo, kushoto ni Beki wa zamani MWANAMTWA KIHWELU na kati ni KATUNDU ambaye ni mwimbaji wa Msondo...

No comments:

Website counter