Mwenyekiti wa Chama cha soka AFRICA KUSINI kulia mwenye suti nyeusi na viongozi wenzie wakitoa shukrani zao wa 'KUKIRIMIWA' vizuri na Viongozi wa TFF mara baada ya mchezo huo uliofanyika Weekend iliyopita. Katikati Mwenye Flana nyeusi ni Katika mkuu wa Shirikisho la soka nchini TFF ANGETILE OSIAH aka 'NGETA' akiwasikiliza kwa makini wageni hao...
No comments:
Post a Comment