Friday, May 6, 2011


Mnenguaji MARIA SOLOMA akionesha 'Ufundi' wa kuchezea 'NYONGA' jana, ilikuwa 'HAATWARIIIII' nakwambia...

Huyu ni Mnenguaji ASHA SHARAPOVA ambaye baada ya kuonesha uhodari mkubwa wa 'KUKATIKA' alizawadiwa pesa sh elfu 50 kutoka kwa Mshambuliaji machachari wa Timu ya YANGA ya jijini Dar NSA JOB aliye pichani kulia...

Hapa ASHA SHARAPOVA na TID walioneshana kazi haswaaa...

Kila mtu alijiachia kwa wakati wake atiii...

No comments:

Website counter