
Kwakweli maandalizi ya mechi hiyo iliyopigwa juzi kwenye uwanja wa Taifa jijini yalikuwa makali sana yalioendana na mazoezi makali sana katika Uwanja wa Leaderz Kinondoni na Timu yetu ya Polisi Jamii iliwakutanisha watu woote maarufu wa fani mbalimbali nchini tuliojumuika pamoja kuicheza mechi hii ya Hisana kwa ajili ya ufunguzi wa michuono ya KOVA CUP inayodhamini na kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar SULEIMAN KOVA! Hapa ni mimi na JOTI tukiwa Hoi taaban kwa kuchoka daah.....
No comments:
Post a Comment