Hiki kilikuwa ni kipindi chetu cha 'BEN & MAI live' cha wiki iliyopita ambapo tulikuwa na mshiriki wa Tanzania katika shindano la Tusker Project Farm na kushika nafasi ya pili aitwae PETER MSECHU na kwa hakika alitufurahisha sana wale woote waliohudhuria kipindi 'live' siku hiyo pale ndani ya studio za TBC mikocheni jijini Dar....
No comments:
Post a Comment