Thursday, September 9, 2010

PUMZIKA KWA AMANI P DIDDY...



Siku zote nitakukumbuka kama rafiki yangu mpendwa ambaye tunashauriana na kusaidiana kwa shida na raha! Sina mengi ya kusema ila nitakumbuka sana maneno yako ya mwisho kwangu uliyoniambia juzi kama vile ulijua muda si mrefu utaondoka Duniani na nitayazingatia sanaa, Mungu akulaze mahali pema na jua uko uliko BEN KINYAIYA na MAIMARTHA wanakukumbuka sanaa, aaagh P DIDDY...


Hapa ni MUHIMBILI tukiuondoa mwili wa P DIDDY kwenye Defender ya Police kuuingiza Mochwari ili uhifadhiwe...

Rtiba ya mazishi ni kwamba atazikwa kesho Ijumaa saa kumi kamili jioni katika makaburi ya KINONDONI hapa Dar na msiba upo nyumbani kwao Kinondoni A nyuma ya MWANAMBOKA PETROL STATION au kama unahitaji maelekezo yoyote au kutoa mchango wowote unaweza kunipigia kwenye namba 0655 705 055 ili kufanikisha msiba huu wa ndugu yetu, Mungu ametwaa kiumbe wake!

3 comments:

Anonymous said...

Mungu alilaze mahali pema peponi roho ya Marehem

Anonymous said...

kwani ameuliwa au?kwa nini awe kwenye defender ya polisi?

Anonymous said...

kwani ameuliwa au?kwa nini awe kwenye defender ya polisi?

Website counter