Thursday, September 9, 2010

BAADHI YA PICHA ZA MATUKIO YA KIPINDI CHANGU CHA JUMAMOSI ILIYOPITA NDANI YA TBC1...LIVE


Nikiwa na Swaiba wangu MAIMARTHA muda mchache kabla hatujaingia Studio kuendesha kipindi...

Nikiwa na mwigizaji HEMED SULEIMAN ambaye nilimwalika kwenye kipindi changu cha siku hiyo....

Tukiwa na Mwanamuziki MAUNDA ZORO ambaye tulimwalika Studio siku iyo...

2 comments:

Anonymous said...

Nilikiangalia hiki kipindi japo si chote. Moyoni nilimwona Mai kama alikuwa dull na hata nguo zilikuwa black hata hairstyle haikuwa poa sana. Jamani mungu ana siri juu uhai na vifo vyetu. huenda Mai bila kujua alishaanza kupatwa na unyong'ong'o wa kufiwa. mmh.. Poleni jamani

Anonymous said...

@1st comment;ni kweli ulichosema coz hata me nilimshangaa my cku hiyo ila nilihic ni changez tu ktk swagger zake,daah mungu ndio maana haja2ambia tu cku ze2 za kufa nahic pacngekalika.....,poleni sana Ben & Mai......R.I.P DIDDY!!ONE

Website counter