KINYAIYA'S ENTERTAINMENT:
www.kinyaiyas.blogspot.com: Kwa habari za Kijamii, Michezo na Burudani kwa wakati...
Sunday, June 13, 2010
Wanenguaji mahiri wa kundi la KHANGA MOJA wakipagawisha watu kwa nyonga zao kali jukwaani, yaani hawa mabinti ni hatarii sanaa looh...
Hao ndio KHANGA MOJA bwana, hawana maskhara kabisaa kwenye masuala ya nyonga tepetepe duuh...
Siku iyo Mango Garden iliwaka moto wallah...
MZEE YUSSUF na kundi lake la JAHAZI nao walipagawisha watu kwa vibao vyao matata na tungo tete...
Nae ALLY CHOKI na bendi yake ya EXTRA BONGO walimwaga sebene la nguvu sikuiyo looh...
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Free Counter
The following text will not be seen after you upload your website, please keep it in order to retain your counter functionality
roulette
No comments:
Post a Comment