Sunday, June 27, 2010

Waimbaji wa bendi ya FMA ACADEMIA 'wazee wa ngwasuma' walitoa burudani ya kufa m2 jana katika ukumbi wa Ubungo Plaza...
Majaji wa shindano ilo la mic Ilala wakiongozwa na Uncle LUNDENGA 'kushoto', wakisubiri kutangazwa mshindi ambaye aliibuka mrembo BAHATI CHANDE...

Mamic wakifanya shoo ya ufunguzi jana iliyowavutia sana watu waliofika jana ndani ya ukumbi wa Ubungo Plaza...


Burudani ya SARAKASI ilishika kasi yake na kuwa kivutio pia...









No comments:

Website counter