Sunday, June 27, 2010

YALIYOJIRI KWENYE SHINDANO LA REDDS MISS ILALA JANA NDANI YA UBUNGO PLAZA...

Mrembo BAHATI CHANDE 'katikati', ndie aliyeibuka kidedeo na kuwapiku warembo wote katika shindano la kumtafuta REDDS MISS ILALA lililofanyika jana ndani ya ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar.
Mrembo anayemaliza muda wake SLYVIA SHALLI 'kushoto' akimvisha Taji la Redds Miss Ilala mrembo mpya BAHATI CHANDE...


Kama kawa wazee wa Ngwasuma FM ACADEMIA walikuwepo kuto burudani na hapa pichani wanenguaji wake wakimwaga 'mauno' yaliyowapagisha wa2 ukumbini...


No comments:

Website counter