Sunday, June 27, 2010

MSIONE KIMYA WADAU NILIKUWA SAFARINI KURUDI LONDON JANA...

Hapa ni baada ya kuoga na kupumzika ndipo nikaamua kutoka nje kupeleka zawadi za watu mitaa ya kati maana wabongo wakisikia m2 anaondoka kwa kutuma haooo...

Hapa ni baada ya kufika LONDON, naelekea kwangu kupumzika kutokana na uchovu

3 comments:

Anonymous said...

pole na safari, tuonyeshe basi hata km una mpz Benny mbn unabana kiasi hicho????

KINYAIYAS ENTERTAINMENT said...

Usijali utamuona 2 muda ukiwadia! Ben.

Anonymous said...

jamani....me nakupenda wewe!!!

Website counter