KINYAIYA'S ENTERTAINMENT:
www.kinyaiyas.blogspot.com: Kwa habari za Kijamii, Michezo na Burudani kwa wakati...
Saturday, June 12, 2010
NILIPOWATEMBELEA WAZEE WA NGWASUMA FM ACADEMIA...
Hapa nikiwa na wakongwe wa bendi hiyo, King Blaise kushoto na Rais wa Bendi iyo Nyosh El Saadat au baba Stallone...
Nikipata picha ya pamoja na wanenguaji mahiri wa bendi ya FM ACADEMIA wakiwa backstage...
Waimbaji wa FM ACADEMIA wakimwaga mauno wa kupagawisha stejini, ilikuwa balaaa....
Kiongozi wa wanenguaji wa kike wa bendi iyo Aaaliya kulia, akiwaongoza wenzake kumwaga radhi stejini...
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Free Counter
The following text will not be seen after you upload your website, please keep it in order to retain your counter functionality
roulette
No comments:
Post a Comment