KINYAIYA'S ENTERTAINMENT:
www.kinyaiyas.blogspot.com: Kwa habari za Kijamii, Michezo na Burudani kwa wakati...
Saturday, June 12, 2010
FM ACADEMI WATAMBULISHA STAILI MPYA YA KUCHEZA IITWAYO PIKIPIKI...
Waimbaji nyota wa FM ACADEMIA wakiongozwa na Pablo Masai katikati, wakicheza Staili mpya ya PIKIPIKI walioitambulisha hivi karibuni, ni hatariii...
Wanenguaji wa FM wakicheza staili mpya ya PIKIPIKI...
Rais wa bendi ya FM ACADEMI Nyoshi El Saadat wakiwaongoza wanenguaji wake kucheza staili mpaya ya Bendi hiyo iitwayo PIKIPIKI...
Nikiwa na mzee wa ndefuuuu Focus Mauki tukifuatilia staili yao ya PIKIPIKI...
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Free Counter
The following text will not be seen after you upload your website, please keep it in order to retain your counter functionality
roulette
No comments:
Post a Comment