Sunday, June 27, 2010

Hapa nimeshaingia LONDON na nimeingia Underground kuchukua Train ili nielekee home fasta maana nimechoka sanaaa...
Hapa ni HEATHROW Airport mjini London na ndio nimetoka kuchukua Begi langu kubwa tayari kwa safari ya kuelekea home...





Kwa hakika safari ilikuwa ndefu yenye uchovu mwingi jana maana si munajua ukipanda EMIRATE lazma wakushushe kwao DUBAI alafu ndio uunganishe pipa lingine looh...



Hapa nilipofika DUBAI nikaamua kuperuzi kwenye Laptop yangu ili niwawekee japo picha chache za safaRi yangu ya kurudi tena LONDON jana...




No comments:

Website counter