Wednesday, June 30, 2010

HUYU NAE ABOMOLEWA NYUMBA...

Mkazi wa Kibaha akilia kwa uchungu jana baada ya kubomolewa nyumba yake na Tingatina kupisha upanuzi wa barabara! Sasa mimi nauliza aende wapii huyu mamaa jamaniii, au kuna hatua yoyote imeshachukuliwa mpaka sasa...

No comments:

Website counter