Wednesday, June 30, 2010

PARAGUAY YAWEKA HISTORIA LEO...


Hatimaye timu ya taifa ya PARAGUAY imeingia kwenye hatua ya robo fainali kwa mara ya kwanza katika Historia yao baaya ya kuitoa JAPAN kwa Penalti 5-3, ila ina mtihani mzito pale itakapokwaana na HISPANIA kwenye hatua iyo ya robo fainali kuingia nusu Fainali ya Kombe la Dunia.

No comments:

Website counter