Sunday, June 27, 2010

Hapa ni uwanja wa ndege wa Dubai na kama kawaida yake pilika mzake ni nyingi kutokana na wageni mbalimbali na abiria wa mashirika mbalimbali ya ndege yanayopitia hapa!
Na wakati nikiwa hapa jana usiku nilijaribu kupita ktika maduka mbalimbali kuangalia vi2 na hatimaye nikaingia kwenye duka la saa na kukuta saa mbalimbali za thamani kama unazoziona hapo juu aina ya RADO na kuna saa moja niliipenda ila nilivyouliza bei yake nikaambiwa ni Dola 2920, kisa ina madini ya Diamond ndani yake looh...


Nikiwa uwanja wa ndege wa DUBAI nikisubiri kuonganisha ndege kurudi LONDON jana usiku...






No comments:

Website counter