Monday, June 21, 2010

DIAMOND MUSICA WALIVYOPAGAWISHA WATU JANA USIKU...


Kiongozi wa bendi ya DIAMOND MUSICA ya jijini Dar MULE ZIRI akiwaongoza waimbaji wake kufanya Shoobiz ya kufa m2 jana ndani ya Ukumbi wa MANGO GARDEN. Huyu jamaa mwanzo alikuwa katika Bendi ya FM ACADEMIA 'wazee wa ngwasuma' kabla ya kupewa dau kubwa na kuhamia Diamond Musica, nadhani wapenzi wa muziki wa Dansi nchini mtakuwa mnamfahamu vizuru huyu bwana kutokana na uhodari wake wa kucheza jukwaani...

Kwa hakika wanenguaji wake walipagawisha sana jana...

Hata 'WATHUNGU' nao walichengua na sebene la Bendi hiyo na kujikuta wakiiacha viti vyao duuuh...

Kwa hakika watu wali enjoy sana kwenye Onyesho hilo na hii picha inaonyesha dhahiri jinsi watu walivyopagawa...

No comments:

Website counter