Friday, October 14, 2011


Sasa hali ya kuthaminiwa kwa wanyama huku barani Ulaya ni tofauti na kwetu Africa, kiasi kwamba kwamba kwa huku Ulaya Mnyama anawekewa mpaka Bima ya Maisha na huwa wanapatiwa matibabu ya hali ya juu kuliko hata Binadamu wa kawaida na huwa waachiwaga 'URITHI' wa majumba na Pesa za kuwatunza...

Mie huwa nabaki kuwaangaliaga tu ila natafakari sikumoja na mimi niingie na MBWA kwenye Daladala nikirudi Bongo alafu nione 'MTITI' wake utakavyokuwa haaa haaaa...

No comments:

Website counter