www.kinyaiyas.blogspot.com:
Kwa habari za Kijamii, Michezo na Burudani kwa wakati...
Monday, November 8, 2010
MMMH AISEEEE....
Daaah namchukia huyu Tall CARROL wa NEWCASTLE bas 2! Wenye akili zenu mtajua ni kwanini namchukia...
3 comments:
Anonymous
said...
Yaaap!!! haya sasa ni mazowea.Hivi huyu Wenger bado hajajifunza ule msemo wa Dont send the boys to do mens job? mwaka wa saba huu, hakuna trophy yoyote yakujivunia!!! bora pia muibadilishe hiyo ngao ya makombora,kwa sababu hayafyatui mizinga tena!! mwaka mwingine huu bado nyinyi ni kichwa cha taahira...au daipers zilijaa choo?
Aaaah naona dogo hana msimamo,kwani alishaonekana pale white heart lane,East london kwenye makazi ya Tottenham Hotspurs akichekelea kisha akaonekana kwenye duka la Arsenal, halafu pale Stamford bridge, akishangila, kwenye makazi ya Chelsea!! It doesnt make a damn sense! ni kama vile miaka ya 80, ujaribu kuwa mpenzi wa Simba, Yanga na Pan.
3 comments:
Yaaap!!! haya sasa ni mazowea.Hivi huyu Wenger bado hajajifunza ule msemo wa Dont send the boys to do mens job? mwaka wa saba huu, hakuna trophy yoyote yakujivunia!!! bora pia muibadilishe hiyo ngao ya makombora,kwa sababu hayafyatui mizinga tena!! mwaka mwingine huu bado nyinyi ni kichwa cha taahira...au daipers zilijaa choo?
kwan Ben ni arsenal mwana, mi najua ni Man u damu au nakoseaaa....
Tupe jibu ben
Aaaah naona dogo hana msimamo,kwani alishaonekana pale white heart lane,East london kwenye makazi ya Tottenham Hotspurs akichekelea kisha akaonekana kwenye duka la Arsenal, halafu pale Stamford bridge, akishangila, kwenye makazi ya Chelsea!! It doesnt make a damn sense! ni kama vile miaka ya 80, ujaribu kuwa mpenzi wa Simba, Yanga na Pan.
Post a Comment