KINYAIYA'S ENTERTAINMENT:
www.kinyaiyas.blogspot.com: Kwa habari za Kijamii, Michezo na Burudani kwa wakati...
Friday, October 29, 2010
KWENYE MISHEMISHE ZA TOWN...
Apa nikiwa na rafiki zangu, kulia ni DJ BULLA 'jamani Buulaah' kutoka Clouds FM, na katikati ni PETIT MAN...
Nikiongozana na rafiki yangu, Mbunge wa Kinondoni Mh IDDI AZAN, mwenye shati la Draft! Si unajua kampeni ndio lala salamu so hakuna kuzubaa mjini...
Nikipoouuz na swahiba wangu EPHRAHIM KIBONDE kutoka 'JAHAZI' Clouds FM...
Hawa ni wadogo zangu wa Hiyari, katikati ni ALAWI JUNIOR na kulia ni TX JUNIOR...
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Free Counter
The following text will not be seen after you upload your website, please keep it in order to retain your counter functionality
roulette
No comments:
Post a Comment