Sunday, October 30, 2011

HARUSI YA MWIGIZAJI SKINER ALL ILIVYOFANA...


Wiki iliyopita Mwigizaji chipukizi wa Filamu nchini SKINER ALLY alifunga ndoa katika sherehe iliyofana na kufuatiwa na 'Mnuso' wa nguvu nyumbani kwao Bi, harusi maeneo ya Magomeni jijini Dar na kuhudhuriwa na Mastaa mbalimbali wa Filamu nchini...

Mwanamuziki MAUNDA ZORO nae alikuwepo kwenye 'MNUSO' huo...

Funz kibao nilikutana nao Mnusoni...

Mimi, SKINER na mumewe, tukiwa kwenye pouzzz...

No comments:

Website counter