www.kinyaiyas.blogspot.com:
Kwa habari za Kijamii, Michezo na Burudani kwa wakati...
Thursday, July 21, 2011
Apa kiongozi wa Bendi ya Twanga Pepeta LUIZA NYONI MBUTU akiongozi Squad nzima ya unenguaji jana ndani ya ukumbi wa Club BILZ ulioko maeneo ya Town posta
SALEH KUPAZA 'mwana Tanga' akimwaga 'UNO' na mnenguaji Maria Soloma jana usiku, ilikuwa balaa...
Tweendeeee saasaaa...
Kwa hakika burudani ilikuwa 'TAKATIFU' jana, kama kawa LILY INTERNET pichani kushoto alitisha...
No comments:
Post a Comment