Leo Jumamosi hii usiku huu niliwatembelea wana 'Baba ya Muziki' Wakongwe MSONDO NGOMA pale kwenye Bonanza lao la kila Jumamosi jioni ndani ya viwanja vya TCC chang'ombe jijini Dar kupata burudani ya 'KALE' kidogo! Sasa kwa taarifa yako ni kwamba Bendi ya Msondo ina waasisi 2 waliobaki hai mpaka sasa baada ya Marehemu TX MOSHI kutangulia mbele ya haki, akabaki mzee MAALIM GURUMO na chuma kingine apo juu pichani mkongwe SAIDI MABERA! Na baada ya mzee GURUMO kuanza kuumwa basi jahazi la MSONDO analiongoza 'Gwiji' huyu ambaye ni mcharaza 'GITARE' hatari nchini mzee MABERA, na kwa hakika ilikuwa ni burudani safi sana kwa watu kama sie tunaojua muziki halisi uko wapi tehee etee teheee...
www.kinyaiyas.blogspot.com: Kwa habari za Kijamii, Michezo na Burudani kwa wakati...
Sunday, June 5, 2011
ZIARA YANGU KWA WANA 'MSONDO NGOMA' LEO ILIVYOKUWA...
Leo Jumamosi hii usiku huu niliwatembelea wana 'Baba ya Muziki' Wakongwe MSONDO NGOMA pale kwenye Bonanza lao la kila Jumamosi jioni ndani ya viwanja vya TCC chang'ombe jijini Dar kupata burudani ya 'KALE' kidogo! Sasa kwa taarifa yako ni kwamba Bendi ya Msondo ina waasisi 2 waliobaki hai mpaka sasa baada ya Marehemu TX MOSHI kutangulia mbele ya haki, akabaki mzee MAALIM GURUMO na chuma kingine apo juu pichani mkongwe SAIDI MABERA! Na baada ya mzee GURUMO kuanza kuumwa basi jahazi la MSONDO analiongoza 'Gwiji' huyu ambaye ni mcharaza 'GITARE' hatari nchini mzee MABERA, na kwa hakika ilikuwa ni burudani safi sana kwa watu kama sie tunaojua muziki halisi uko wapi tehee etee teheee...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment