www.kinyaiyas.blogspot.com:
Kwa habari za Kijamii, Michezo na Burudani kwa wakati...
Tuesday, May 31, 2011
NAWATAKA 'RADHI' WAJAMENI...
Samahani wadau na wapenzi wa KINYAIYA'S BLOG NILIKUWA NJE YA NCHI NA NDIO MAANA MKAONA KIMYA KWA MUDA ILA NIMESHARUDI NA LIBENEKE LETU LA '/BLOGU' LINAENDELEA KAMA KAWA...
3 comments:
Anonymous
said...
HAYA VZURI TUNAKUKARIBISHA TENA UTUPE MAMBO MAZURI,PIA JINA LA BWANA LIBARIKIWE KWAKURUDI HOME SALAMA.
3 comments:
HAYA VZURI TUNAKUKARIBISHA TENA UTUPE MAMBO MAZURI,PIA JINA LA BWANA LIBARIKIWE KWAKURUDI HOME SALAMA.
Ni nani alikuambia nje ya nchi hakuna INTENET WEYE??? AAAAAGHHH nitaacha kutizama blog yakooo mimiiiii ah.
Lakini poa tuendelee na libeneke
Bega
nakwambia nje ya nchi au nje ya mji labda ndo net hamn ha haaa, n wayz welcam back,lkn uwe unaaga basi lol.
Post a Comment