Wednesday, May 18, 2011

MTANANGE WA 'TAIFA STARZ' NA 'BAFANA BAFANA' ULIVYOKUWA WEEKEND ILIYOPITA JIJINI DAR...


Huyu aliye pichani kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam SAID MECK SADIQ ambaye ndie aliyekuwa mgeni rasmi katika pambano kali la kirafiki la soka kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania 'TAIFA STARZ' na Timu ya taifa ya Africa ya Kusini 'BAFANA BAFANA' iliofanyika Jumamosi usiku ndani ya uwanja mkubwa wa Taifa jijini Dar ambapo Bafana bafana walishinda kwa Bao 1 - 0. Kulia kwake ni Mbunge wa Kinondoni Mh. IDD AZAN.

Hawa ni makocha wa Timu zote mbili, kushoto ni JAN POLSEN wa Taifa Starz na kulia ni PITSO MOSIMANE wa Bafana Bafana wakizungumza na waandishi wa habari jinsi mchezo ulivyokuwa mara baada ya mchezi kwisha...

Huyu ni Kipa maarufu wa zamani barani Africa JUMA PONDAMALI aka 'MENSAH' ambaye kwasasa ni Kocha wa makipa wa Timu ya Taifa ya soka TAIFA STARZ...

No comments:

Website counter