Anaitwa ZINEDINE YAZID ZIDANE aka "ZIZOU", Ni mmoja kati ya wanasoka wachache mahiri kuwahi kutokea Duniani. Ni kiungo mahiri wa Kifaransa mwenye asili ya Algeria aliyezaliwa Tar 23 june 1972 mjini Marseille nchini Ufaransa kutoka kwa wazazi 'WAZAMIAJI' kutoka Algeria Bw. ISMAIL na MALIKA ambao walihamia Ufaransa wakitokea katika kijiji cha AGUEMONE uko KABYLIE nchini Algeria!
No comments:
Post a Comment