Monday, April 18, 2011


Weeeweeeee chezeeaaaa....

Rapa namba moja wa FM ACADEMIA aka 'wazee wa ngwasuma' KALIDJO MWANA KITOKOLOLO aka 'KUKU' akirapu kwa hisia kali jana ndani ya Msasani Club maeneo ya Morocco...

Ni mwendo wa 'SHOWBIZE' tu weee...

Kwakweli madansa wa Fm Academia ni wakali sanaaa, jaribi kwenda kushuhudia uone...

No comments:

Website counter