www.kinyaiyas.blogspot.com:
Kwa habari za Kijamii, Michezo na Burudani kwa wakati...
Wednesday, October 20, 2010
Yaap apa nikiwa na mzee ZAHIR ZORRo ambaye ni baba mzazi wa BANANA ZORRO tukipiga 'Manyanga' kwa fujo zooteeee...
Nikiwa kaka yangu mdau wa Ujerumani aitwae TEN akiwa sambamba na 'sheemeejiiiiii' katikati apo...
Wanamuziki wa B BAND wakiwajibika jukwaani huku wakiongozwa na mkongwe MANENO UVURUGE ambaye kwa wale watu wa zamani kwenye muziki watakuwa akimkumbuka sana kwa upugaji wake mahiri wa 'Gitare' weee...
2 comments:
Anonymous
said...
he he he he hawa wazaire hawanaga mi skendo papa zahir na mwanae banana.aloo dogo beni usbanie hii kitu
2 comments:
he he he he hawa wazaire hawanaga mi skendo papa zahir na mwanae banana.aloo dogo beni usbanie hii kitu
Sasa we Ben ndo nini kutuvalia vest kwenye outing bwana?? Uvaaji wako saa zingine mmmmm siukubali kabisaaaaaaaaaaaaaa
Post a Comment