Friday, October 29, 2010

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KESHOKUTWA JUMAPILI...


Haya hayaa makaratasi ya kupigia kura ndio hayoo yameshatia timu Jijini, kwaiyo kilichobaki ni sisi kutimiza wajibu wetu siku ya Jumapili mapemaaaa kieleweke kudadeki maana hatutaki masikhara kabsaaaa na sikuiyo tutavaa uso wa 'Mbuzi' na tutakuwa 'Kiuchaguzi' zaidi... Ila jamani mbona kama na wasiwasi na haya makaratasi yanayoshuka apo juu, maana usikute ndio yale yalikwisha tiwa 'TIKI' mapemaaaa.... Haaa ahaaaa natania bwanaa...

No comments:

Website counter