Tuesday, June 29, 2010

Wanenguaji mahiri wa FM ACADEMIA Lolei, Titi na Fatma wakiwa Back stage wakijitayarisha kuingia Stejini...

Rapa mahiri wa FM ACADEMIA TOTOO KALALA akila pouzz na mashabiki wake juzi kwenye onyesho lao...

Mnenguaji mkongwe nchini LILIAN INTERNET wa bendi ya TWANGA PEPETA akinengua jukwaani juzi. Kwa wale wapenzi wa Dansi watamkumbuka sana tangu alipovuma na bendi ya DIAMOND SOUND 'wana ikibinda nkoi' enzi zao pale New Silent Inn MWENGE kwa papaa Rwegasira, alikuwa tishio sna na hata sasa wanenguaji wa kike chipukizi bado wanamgwaya kwa sana 2 ila naskia tayari ni mjamzito! Kama ni kweli sie kama Kinyaiya's blog tunamtakia kheri kama mama mtarajiwa...

No comments:

Website counter