Sunday, June 27, 2010

JAMANI ETI CAPELLO AJIUZULU AU WANAMUONEA?...

Baada ya kipigo cha mabao 4-1 kutoka kwa Germany, kuna mjadala unaendelea hapa Uwingereza kwamba eti kocha wa England Mr FABIO CAPELLO ajiuzulu au aendelee? sasa wadau wa soka na mashabiki wa hapa wameganyika na kuchanganyikiwa kwa kipigo icho kilichoitoa timu yao mashindanoni, sasa kama wewe ni shabiki wa soka unaejua mwenendo mzima wa timu ya England unaona ni sahihi kwa Capello kujiuzulu au wanamuonea 2 buree?...

Wachezaji wa ENGLAND wakiwa hawaamini macho yao kwa kipigo kitakatifu walichokipata kutoka kwa Ujerumani ingawa eti wanasema kwamba eti kukataliwa bao lao alilofunga Lampard ndio limewafanya wachanganyikiwe na kupelekea kufungwa hayo mabao mengine, wakati nionavyo mimi kama Ben ni kwamba Germany walikuwa wazuri zaidi kwa kilaki2 Uwanjani kuliko England, au mnasemaje wadau...

No comments:

Website counter