Tuesday, June 1, 2010

Wadau na wapenzi wangu kaeni mkao wa kula kwa kipindi changu kipya na Maimatha pale TBC kila jumamosi jioni...

Tukiwa hewani jumamosi iliyopita, ilikuwa hatariii...
Hatarii nakwambia....


Cameraman Kissoki akiwa mzigoni...


Mwanamuziki Khalid Chokoraa na winga wa Yanga Shamte Ally wakiwa tayari kuingia kwenye Kipindi tayari kwa makamuzi...



Ebwnaa eeeh si cha kukosaaa....



7 comments:

Anonymous said...

mimi nawafagilia sana
kazi njema, ni hayo tu kwaleo
violet

Disminder orig baby said...

uuuh mnavutia sana.

Disminder orig baby said...

uuuh mnavutia sana.

Anonymous said...

pliz Ben na Mai, muwaombe Tbc1 wabadilishe muda wa kipindi ikiwezekana kihamie saa2 na nusu usku same day,kwani muda huo watazamaji wengi tunakuwa majumbani mwetu, but muda wa sasa wengi tunakuwa bado tuko mtaani kuzisaka. kipindi chenu kitafunika sana,kila la kheri. fanyia kazi ambi langu.

Anonymous said...

naomba kueleweshwa kipindi hiki kinarushwa katika channel ipi? nawafagilia kinoma na mnamatch sana mkiwa pamoja, keep it up

Anonymous said...

jamani mmehama eatv?tuambie benny...nawapendaga mnapendezana kisana tu

Anonymous said...

sio siri mimi niko na nyinyi toka EATV nawakubali mnoooooooooooooo mko juu mazee

Website counter